JATU
(Jenga Afya Tokomeza Umaskini)
Jenga Afya Tokomeza Umaskini ( JATU) PLC ni kampuni ya kitanzania iliyosajiliwa kama kampuni ya umma (Public Limited Company) inayowaunganisha wakulima na kuwawezesha kulima kisasa na baada ya mavuno kampuni hununua mazao yote na baadaye kuandaa bidhaa ambazo huuzwa kwa wanachama wa JATU kwa mfumo wa biashara ya mtandao (network marketing).